Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akimpiga Fabian Schar wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor mjini La Coruna usiku wa Jumapili, lakini wachezaji wote wakawa na bahati ya kutoonyeshwa kadi yoyote licha ya kugombana kipindi cha pili. Real iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu ilishinda 3-0 mabao ya Gareth Bale dakika ya 20, Casemiro dakika ya 27 na Toni Kroos dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
O'Sullivan races through to last 16 at Crucible
-
Seven-time world champion Ronnie O'Sullivan races through the two frames he
needed to thrash Jackson Page and move into the last 16.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment