• HABARI MPYA

    Saturday, August 19, 2017

    PAPY KABAMBA TSHISHIMBI 'MDOGO MDOGO' NDANI YA GOMBANI

    Kiungo mpya Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akikimbia peke yake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Gombani, Pemba. Tshishimbi aliyesajiliwa kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland amejiunga na wenzake kambini jana, hivyo amepewa programu maalum tofauti na wenzake kuelekea pambano la Ngao ya Hisani Jumatano dhidi ya mahasimu, Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAPY KABAMBA TSHISHIMBI 'MDOGO MDOGO' NDANI YA GOMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top