Kiungo mpya Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akikimbia peke yake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Gombani, Pemba. Tshishimbi aliyesajiliwa kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland amejiunga na wenzake kambini jana, hivyo amepewa programu maalum tofauti na wenzake kuelekea pambano la Ngao ya Hisani Jumatano dhidi ya mahasimu, Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Edmund Addo eager to shine for Black Stars amid position shift
-
Ghana midfielder Edmund Addo expressed his determination to elevate his
performance and contribute his best for the Black Stars whenever he gets
the opport...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment