• HABARI MPYA

    Thursday, August 17, 2017

    NGOMA NA CHIRWA WAONYESHA MIILI YA KAZI YANGA

    Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGOMA NA CHIRWA WAONYESHA MIILI YA KAZI YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top