Washambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) na Mzimbabwe, Donald Ngoma (kushoto) wakionyesha miili yao ilivyojengeka kimazoezi baada ya kujifua kwenye gym. Lakini picha hii ni ya zamani, kwani kwa sasa Yanga ipo kambini kisiwani Pemba kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu, Simba Jumatano Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambako Chirwa hayupo kwa sababu amebaki Dar es Salaam akiendelea na matibabu.
Son of one of footy's greatest players is accused of white-anting Tigers
coach Benji Marshall as club boss explodes: 'It's just bulls**it on every
level'
-
Tigers boss Shane Richardson has slammed rumours about Marshall as
'bulls**t' after former recruitment manager Scott Fulton allegedly fed
criticisms about ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment