Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Real Betis, Alex Alegria (kushoto) na Mcolombian Juan Narvaez usiku wa Jumapili katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Barcelona ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Alin Tosca dakika ya 36 na Sergi Roberto dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy coach Luke Beveridge's son launches his surprising new career with
some VERY risque photos
-
Kye Beveridge, son of the Western Bulldogs coach, posted two
black-and-white snaps from a recent photo shoot, where he poses topless in
the moody shots.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment