Eric Bailly (kulia) akikimbia kushangilia na Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 45 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Swansea City jioni ya leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea, Wales kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya United ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lukaku dakika ya 80, Paul Pogba dakika ya 82 na Anthony Martial dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marouane Fellaini sheds new light on David Moyes' nightmare spell at Man
United - and labels it the 'worst season' he has ever experienced
-
Marouane Fellaini has admitted his first year at Manchester United was 'the
worst season of his career' as the club struggled under David Moyes.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment