• HABARI MPYA

    Sunday, August 20, 2017

    CHELSEA YAANZA LIGI, YAITANDIKA SPURS 2-1 WEMBLEY

    Marcos Alonso akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chelsea akimtungua kipa wa Tottenham, Hugo Lloris dakika ya 88 akimalizia kazi nzuri ya Pedro katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley, London. Chelsea imeshinda 2-1 na bao lake la kwanza alifunga Alonso pia wakati la Spurs limefungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga dakika 82 PICHA ZAIDI YA GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAANZA LIGI, YAITANDIKA SPURS 2-1 WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top