Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment