• HABARI MPYA

    Saturday, August 19, 2017

    ARSENAL WANYIMWA BAO, PENALTI WAKIPIGWA 1-0 NA STOKE

    Alexandre Lacazette akisikitika baada ya refa kukaa bao lake aliloifungia Arsenal ambalo lingekuwa la kusawazisha katika kipigo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City Uwanja wa Bet365 leo. Bao pekee la Stoke limefungwa na Jese Rodriguez dakika ya 47 katika mchezo ambao Arsenal walinyimwa na penalti baada ya Hector Bellerin kuangushwa na Mame Biram Diouf kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WANYIMWA BAO, PENALTI WAKIPIGWA 1-0 NA STOKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top