Daktari akimpima kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' huku, beki Mwinyi Hajji Mngwali akisubiri leo asubuhi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam katika zoezi la klabu hiyo kuwapima afya wachezaji wake kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Edward Bavu akimpima mshambuliaji Mrundi, Amissi Tambwe
Dk. Nassor Matuzya akimpima beki wa kulia, Juma Abdul
Beki mpya wa kati, Abdallah Haji 'Ninja' kutoka Zanzibar akipimwa urefu
Beki mwingine wa kati, Andrew Vincent 'Dante' naye alihudhuria zoezi hilo la upimaji afya
Nic Claxton Contract a 'Priority' in 2024 NBA Free Agency, Nets HC
Fernández Says
-
Newly installed Brooklyn Nets head coach Jordi Fernández made it abundantly
clear he considers fifth-year center Nic Claxton to be a big part of the…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment