Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Zambia, Adrian Chama jana katika mchezo wa Nusu Fainali Kombe la COSAFA Castle Uwanja wa Moruleng mjini Rusternburg, Afrika Kusini. Zambia inayojulikana kwa jina la utani Chipolopolo iliifunga Taifa Stars 4-2
Nahodha na kiungo wa Tanzania, Himid Mao akimuacha kiungo wa Zambia jana
Kiungo wa Tanzania, Muzamil Yassin akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Zambia, Donashano Malama
Beki wa Zambia, Lawrence Chungu akiwa hewani kuokoa kwa kichwa dhidi ya winga wa Tanzania, Shiza Kichuya
Donashano Malama wa Zambia akiwa juu kugombea mpira na mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri
Elias Maguri wa Tanzania (kushoto) akiwania mpira na Isaac Shamujompa wa Zambia jana
Mike Tyson Posts Video Shadowboxing with Shannon Briggs in NY Before Jake
Paul Fight
-
Mike Tyson is hard at work preparing for his upcoming bout with Jake Paul.
The former heavyweight champ posted a video of himself shadowboxing with
Shannon…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment