• HABARI MPYA

    Monday, July 03, 2017

    SINGIDA UNITED WAZINDUA BASI LAO LA MILIONI 300 LEO

    Singida United Football Club imetambulisha basi lake binafsi jipya aina ya Golden Dragon T 548 DKQ watakalokuwa wanatumia kwa safari zake mbalimbali za soka nje na ndani ya nchi. 
    Uongozi wa Singida United imesema kwamba thamani ya basi hilo zaidi ya Sh. Milioni 300
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA UNITED WAZINDUA BASI LAO LA MILIONI 300 LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top