Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta ameposti picha hii katika akaunti yake Instagram sambamba na maelezo; "Nina furaha mno kuwa Balozo wa watu wenye ulemavui wa ngozi Tanzania. Nipo tayari kuwalinda na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.#Mimi ninawathamini na kuwalinda, wewe je?
Ameposti pia cheti hiki cha uteuzi wake huo kutoka cha Watu wenye Ulemavu wa Ngozi, maarufu kama Maalbino
Na kuna picha hii tena, ambayo maelezo yake ni; "HAINA KUFELI"
Palace put £60m price tag on both Eze and Olise
-
Crystal Palace will only entertain offers for Eberechi Eze and Michael
Olise that start at £60m or more for each player.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment