Mshambuliaji mpya wa Everton, Wayne Rooney (katikati) akiwa mazoezini na wenzake leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kesho
Rooney alikuwa kivutio kwenye mazoezi ya Everton leo Uwanja wa Taifa
Wayne Rooney amerejea Everton mwishoni mwa wiki baada ya kuondoka miaka 13 iliyopita kuhamia Manchester United mwaka 2004
Popote alipopita leo Wayne Rooney leo kuanzia wakati anawasili Uwanja wa Ndege alikuwa kivutio
Hapa Rooney anawaongoza wachezaji wa Everton kuingia Uwanja wa Taifa
Wachezaji wa Everton wakifanya mazoezi leo Uwanja wa Taifa
Jason Kelce claims Lionel Messi playing for Argentina is 'different' than
in MLS with Inter Miami after he dazzled at the Chiefs' Arrowhead
Stadium... but brother Travis insists 'it's all about the Premier League
dude'
-
Jason, who earlier talked about his experience watching the 2016 FIFA World
Cup in Brazil, kept his stance after Travis raved about Messi's recent game
in ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment