Mchezaji mpya beki, Michael Rusheshangoga akiwa ameshika jezi ya Singida United leo baada ya wote kuwasili tayari kuanza kazi kwa mwajiri mpya kutoka APR ya Rwanda. Kila mmoja amesaini mkataba wa miaka miwili
Michael Rusheshangoga (kushoto) ni mshindi wa tuzo ya Bao Bora la msimu uliomalizika wa Ligi Kuu ya Azam Rwanda na wote wawili sasa wanakwenda moja kwa moja kuungana na wenzao walipo kambini mjini Mwanza.
0 comments:
Post a Comment