Kulia ni Mussa Kawambwa na refa wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Osman Kazi (kushoto) wanaofanya kipindi cha Kipyenga, kinachozidi kujipatia umaarufu nchini kutokaa na kufichua mambo mengi ambayo watu huwa hawayaoni wakati wa michezo mbalimbali
Kesho tena kuanzia Saa 1:00 usiku, Mussa kawambwa na Osman Kazi watakuwa mubashara ndani ya Azam Sports HD katika Kipyenga. Vipo vitu vya kukosa, lakini Kipyenga
Kesho tena kuanzia Saa 1:00 usiku, Mussa kawambwa na Osman Kazi watakuwa mubashara ndani ya Azam Sports HD katika Kipyenga. Vipo vitu vya kukosa, lakini Kipyenga
0 comments:
Post a Comment