Mshambuliaji chipukizi wa Tanzania, Mbaraka Yussuf akimiliki mpira mbele ya beki wa Lesotho, Thsoanelo Koetle katika mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2019 nchini Cameroon uliofanyika usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1
Beki wa Lesotho 'Mamba', Thsoanelo Koetle akiondoka na mpira dhidi ya Nahodhawa Tanzania, Mbwana Samatta
Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akipasua katikati ya wachezaji wa Lesotho
Kiungo wa Taifa Stars, Muzamil Yassin akimiliki mpira pembeni ya beki anayejituma wa Lesotho, Thsoanelo Koetle
Winga wa Tanzania, Shizza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Lesotho
Winga wa Tanzania, Farid Mussa (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Lesotho
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf akimuacha chini Mabuti Potloane wa Lesotho jana
Jane Thaba-Ntso wa Lesotho (kulia) akiudhibiti mpira dhidi ya Shomary Kapombe wa Taifa Stars
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana Uwanja wa Azam na chini ni kikosi cha Lesotho
Beki wa Lesotho 'Mamba', Thsoanelo Koetle akiondoka na mpira dhidi ya Nahodhawa Tanzania, Mbwana Samatta
Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akipasua katikati ya wachezaji wa Lesotho
Kiungo wa Taifa Stars, Muzamil Yassin akimiliki mpira pembeni ya beki anayejituma wa Lesotho, Thsoanelo Koetle
Winga wa Tanzania, Shizza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Lesotho
Winga wa Tanzania, Farid Mussa (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Lesotho
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf akimuacha chini Mabuti Potloane wa Lesotho jana
Jane Thaba-Ntso wa Lesotho (kulia) akiudhibiti mpira dhidi ya Shomary Kapombe wa Taifa Stars
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana Uwanja wa Azam na chini ni kikosi cha Lesotho
0 comments:
Post a Comment