• HABARI MPYA

    Sunday, June 11, 2017

    TAIFA STARS ILIYOTOA SARE 1-1 NA LIBERIA YA GEORGE WEAH MONROVIA 1992

    Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kikiwa mjini Monrovia, Agosti 30, mwaka 1992 kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 1994 uliomalizika kwa sare ya 1-1 na wenyeji, Liberia 'Lone Stars' walioongozwa na George Weah, Mwanasoka Bora wa zamani wa dunia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS ILIYOTOA SARE 1-1 NA LIBERIA YA GEORGE WEAH MONROVIA 1992 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top