Ola Toivonen akishangilia na wachezaji wenzake wa Sweden baada ya kufunga bao la ushindi dhidi ya Ufaransa dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Friends Arena mjini Solna katika mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Olivier Giroud alianza kuifungia Ufaransa dakika ya 37, kabla ya Jimmy Durmaz kuisawazishia Sweden dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Has WWE's Cody Rhodes Gotten Hotter or Colder Over Last Year Chasing Roman
Reigns?
-
In a few days, Cody Rhodes will enter the fight of his life at WrestleMania
40, seeking to finish the story and become the WWE champion. The
second-generat...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment