Kiungo wa Simba, Bakari Masoud akijaribu kupita katikati ya wachezaji wa Nakuru All Stars katika mchezo wa michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Nakuru ilishinda kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90
Beki wa Nakuru All Stars, Sadick James Amakanji (kushoto) akimiliki mpira pembeni ya mshambuliaji wa Simba, Frederick Blagnon
Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim (kulia) akipiga kasi kumpita beki wa Nakuru All Stars, Siwa Omondi
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akimtoka kwa kasi Siwa Omondi wa Nakuru All Stars
Beki wa Simba, Jamal Mwambeleko (kulia) akivuta mguu kupiga mpira pembeni ya mchezaji wa Nakuru All Stars
Mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio akimtoka mchezaji wa Nakuru All Stars
Kikosi cha Simba Uwanja wa Uhuru na chini ni kikosi cha Nakuru All Stars
Ten Hag: There was no panic
-
The boss feels his side were composed in responding to conceding two
'unacceptable' goals on Wednesday.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment