Mmiliki wa klabu ya African Lyon ya Dar es Salaam, Rahim Kangenzi ‘Profesa Zamunda’ akichangia mada katika kongamano la soka China 2017 maarufu kama “China Football Summit” lililofanyika Juni 1 na 2, mwaka huu mjini Guangzhou, China
Profesa Zamunda ambaye timu yake imeteremka Daraja kutoka Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu, akiwa na wanafunzi wa akademi ya Evergrande, ambayo ni kubwa kuliko zote duniani.
Profesa Zamunda akiwa na Rais wa akademi ya Evergrande, Liu Jiangnan
Manchester United F.C. News
-
Ahead of our latest clash with Sheffield United, test your knowledge of our
previous encounters with the South Yorkshire outfit.
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment