Nahodha wa England kwa mara ya kwanza leo, Harry Kane akiifungia bao la kusawazisha 'Simba Watatu' dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia usiku wa Jumamosi Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow. England walitangulia kwa bao la Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 70, kabla ya Leigh Griffiths kufunga mara mbili mfululizo dakika za 87 na 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool haven't scored from open play in over SIX hours of football...
Have the Reds lost their killer edge at the worst time? And is Klopp's
farewell in danger of turning sour?
-
With so much to play for, Liverpool were poised to make this season one to
remember and deliver an epic send-off for their manager. But the past
fortnight ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment