Diego Souza akishangilia baada ya kuifungia Brazail bao la kwanza sekunde ya 11 tu katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kirafiki jana dhidi ya wenyeji Australia Uwanja wa Kriketi wa Melbourne. Souza alifunga bao la nne pia dakika ya 90 na ushei, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Thiago Silva dakika ya 62 na Taison dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Awkward moment footy star is spotted making X-rated comment during poignant
Anzac Day ceremony ahead of Collingwood vs Essendon
-
During the Australian national anthem, he was seen turning to fellow Pies
star Steele Sidebottom and appeared to say 'I f***ing s*** myself',
referrinbg to...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment