Angel Di Maria akijikunja kuifungia Argentina bao la sita dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Singapore jana Uwanja wa Taifa wa Singapore kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao mengine yalifungwa na Fazio dakika ya 25, Correa dakika ya 31, Gomez dakika ya 60, Paredes dakika ya 74 na Alario dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden reveals what it's REALLY like to play for Pep Guardiola in an
It's All Kicking Off podcast special
-
The 23-year-old, who announced this week that he and his girlfriend are
expecting their third child, sat down with It's All Kicking Off co-host and
Mail Sp...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment