Diego Costa akishangilia baada ya kuifungia Hispania bao ka pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Macedonia usiku wa jana Uwanja wa Nacionalna Arena mjini Filip II Makedonski, Skopje kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia. David Silva alianza kuifungia Hispania dakika ya 15, kabla ya Stefan Ristovski kuisawazishia Macedonia dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment