Meneja Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo kiungo, Salmin Hoza baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili akitokea Mbao FC ya Mwanza. Huyo anakuwa mchezaji wa tatu mpya kusajiliwa na timu ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa na familia yake ndani ya wiki moja, baada ya washambuliaji Waziri Junior kutoka Toto Africans ya Mwanza pia na Mbaraka Yussuf kutoka Kagera Sugar ya Bukoba
Updated 2024 AEW Dynasty Card and Predictions for Match Order
-
The inaugural AEW Dynasty pay-per-view is set for Sunday, and it will see
nearly every major AEW championship be put on the line. In the likely main
event,…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment