Beki Pablo Zabaleta akiwa amerushwa juu na wachezaji wenzake baada ya kuichezea Manchester City mechi ya mwisho Uwanja wa Etihad usiku wa Jumanne akihitimisha miaka yake tisa ya mafanikio kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya West Bromwich Albion. Mabao ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 27, Kevin De Bruyne dakika ya 29 na Yaya Toure dakika ya 57, wakati la WBA limefungwa na Hal Robson-Kanu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'These English pundits are clueless!' Micah Richards mocked as he gets his
Champions League predictions totally WRONG after Man City suffer penalty
heartbreak against Real Madrid and Arsenal crash out against Bayer Munich
-
Predicting the outcome of the Champions League quarter-finals can be a
fool's errand, as Michael Richards found out the hard way.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment