• HABARI MPYA

    Saturday, May 20, 2017

    YANGA WALIVYOFURAHIA NA KOMBE LAO LA REKODI LEO KIRUMBA

    Wachezaji wa Yanga wakisherehekea na Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya kukabidhiwa leo Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza wakitoka kufungwa 1-0 na wenyeji Mbao FC kwenye mchezo wa mwisho wa ligi hiyo
    Beki Hassan Kessy akifurahia na Medali yake
    Kiungo Mzimbabwe, Thabani Kamusoko akifurahia na Kombe la chumbani kwake hotelini Mwanza
    Kipa Deo Munishi 'Dida' akifurahia na Kombe kwenye gari baada ya mechi
    Warembo wakiwa wameshika Kombe tayari kukabidhiwa kwa Yanga ambalo sasa inalichukua moja kwa moja baada ya kulitwaa mara tatu mfululizo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WALIVYOFURAHIA NA KOMBE LAO LA REKODI LEO KIRUMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top