Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akimtoka beki wa Toto Africans ya Mwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0 |
Mshambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa (kulia) akimtoka beki wa Toto Africans |
Obrey Chirwa akiruka kuwania mpira wa juu dhidiya mchezaji wa Toto
Beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) akimpa mateso mchezaji wa Toto
0 comments:
Post a Comment