Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (kushoto), akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United ya Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0
Laudit Mavugo (kulia) na Mohammed 'Mo' Ibrahim (kushoto) wakimpongeza Juma Luizio baada yaa kufunga mabao mawili katika ushindi wa 2-0 jana
Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Stand United
Muzamil Yassin akipiga shuti mbele ya wachezaji wa Stand United
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana na chini ni kikosi cha Stand United
Pep Guardiola admits the scrapping of FA Cup replays is a 'blow' for lower
league teams while Erik ten Hag insists the decision was 'inevitable'... as
Premier League managers react to the change
-
Pep Guardiola admitted that the scrapping of FA Cup replay is a 'blow' for
lower league teams, as Premier League managers reacted to the announcement.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment