Shabiki wa Yanga (kulia) akiwa amebandika nembo ya klabu kwenye shati na kofia yake kudhihirisha mapenzi yake kwa klabu hiyo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumanne wiki hii. Ubunifu wa shabiki huyu unawaonyesha viongozi wa Yanga namna wanavyoshindwa kuitumia nembo ya klabu hiyo kibiashara, kwani wangeweza kutengeneza bidhaa mbalimbali hususan mavazi yenye nembo hiyo na Yanga ingenufaika kifedha.
Emiliano Martinez avoids getting sent off DURING penalty shootout for
winding up Lille fans thanks to little-known rule… before Aston Villa
keeper saves decisive spot-kick
-
The Argentina goalkeeper, who made headlines with his antics in the World
Cup final shootout against France, was warned by Slovakian referee Ivan
Kruzliak ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment