Kiungo wa Tanzania, Assad Ali akienda chini kuondosha mpira miguuni mwa Jelson Joao Mivo wa Angola |
Mfungaji wa bao la kwanza la Tanzania, Kevin Nashon Naftal akiwatoka wachezaji wa Angola |
Shaaban Zubeiry Ada wa Serengeti Boys akimtoka mchezaji wa Angola, Fiete Quintas Agostinho dos Santos |
Enrick Vitalis Nkosi wa Tanzania nyuma ya mchezaji wa Angola |
Beki wa Angola, Miguel Anselmo Basilio Daniel akiokoa mpira kwa kichwa dhidi ya Abdul Suleiman wa Tanzania |
Kikosi cha Serengeti Boys jana na chini ni kikosi cha Angola |
0 comments:
Post a Comment