Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na Isco baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 10 na 48 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Celta Vigo Uwanja wa Balaidos mjini Vigo kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema dakika ya 70 na Toni Kroos dakika ya 88. Bao la Celta Vigo limefungwa na John Guidetti dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Tiger Woods to Get $100M PGA Tour Equity Payout; Rory McIlroy Could
Get $50M
-
Tiger Woods will receive "up to $100 million," while Rory McIlroy could get
$50 million as equity payments from the PGA Tour after neither golfer
joined Sa...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment