Winga wa Yanga, Simon Msuva akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuchanika juu ya jicho la kushoto wakati akiifungia timu yake bao la kwanza dakika ya saba katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hapa ndipo Msuva alipoumia wakati anapiga kichwa kufunga aligongana na beki wa Mbeya City, Tumba Lui Swedi
Wachezaji wa Yanga wakiwaita watu wa huduma ya kwanza kuja kumsaidia Simon Msuva baada ya kuanguka chini
Wachezaji wengine wa Yanga wakimsaidia Msuva, huku wengine wakiwaita watu wa huduma ya kwanza
Hapa Msuva anatolewa nje ya Uwanja, kabla ya kupelekwa kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa kwa matibabu zaidi
Alikuwa akipelekwa huku akifutwa damu kwenye jeraha lake
Hapa Msuva akiwa kwenye Zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa baada ya matibabu na kushonwa nyuzi nne kwenye jeraha lake
Revealed: The email that left Roman Abramovich's Chelsea chief Marina
Granovskaia, 'football's most powerful woman', feeling 'physically
threatened' in agent row over £300,000 transfer payments
-
SAMI MOKBEL: Giving testimony in court on Tuesday morning, Granovskaia was
asked by prosecuting solicitors Arizuna Asante how she felt upon receiving
the e...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment