Beki John Terry (wa pili kulia) akiwania mpira dhidi ya nyota kinda, Nathaniel Chalobah wakati wa mazoezi ya Chelsea kujiandaa na mechi ya mwisho ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Sunderland Jumapili. Terry mwenye umri wa miaka 36 sasa, anatarajiwa kuaga Chelsea siku hiyo baada ya kucheza mechi 716 tangu 1995 alipowasili akiwa kijana mdogo kabisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'There's a lot of room for improvement' - Allen
-
Mark Allen says the second session against Robbie Williams was a 'bit of a
struggle' as he won 10-6 in the first round at the World Championship.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment