Mshambuliaji kinda wa miaka 20, Mbrazil, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 36 ikiwalaza Leicester City 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na David Silva dakika ya 29 wakati la Leicester limefungwa na Shinji Okazaki dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why The Dolphins were forced to tape over controversial medical marijuana
sponsor logo - and how the plan came unstuck in humid Darwin conditions
-
The Dolphins have covered up their jersey sponsor, Alternaleaf, a clinic
that prescribes medical cannabis, following legal advice while the
Therapeutic Goo...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment