Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga (kushoto) akifurahia kwa vinywaji na wanafunzi wenzake wa Chuo Kikuu cha Dar e Salaam (UDSM) mwaka ya 1981. Tenga ni beki wa zamani wa Yanga, Pan Africans na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambaye pia amewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soika Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
England's Cokayne returns for Grand Slam decider
-
England make two injury-enforced changes to face France in their Grand Slam
decider on Saturday in Bordeaux.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment