Theo Walcott akishangilia na Mesut Ozil baada ya wote kuifungia Arsenal ikiwalaza wapinzani wao wa London, West Ham United mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Emirates. Ozil alifunga dakika ya 58, Walcott dakika ya 68 wakati lingine lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Chiefs star Rashee Rice is working with renowned wide receiver
coach as he continues to prepare for 2024 NFL season despite police
investigation into 119mph crash
-
A video showing Kansas City Chiefs wide receiver Rashee Rice preparing for
the 2024 season has been making the rounds on social media.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment