Alvaro Morata akipongezwa na James Rodriguez baada ya kuifungia mabao matatu Real Madrid dakika za 18, 23 na 48 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Leganes usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real lilifungwa na Rodriguez dakika ya 15, wakati ya Leganes yalifungwa na Gabriel dakika ya 32 na Luciano dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment