Eden Hazard akipongezwa na Pedro na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Hazard alifunga bao la pili la Chelsea pia dakika ya 35, wakati la Man City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
1 Trade Each NFL Contender Should Consider to Fill Biggest Weakness
-
Three weeks into the 2024 NFL year, and we're starting to shift our
attention from the aftermath of free agency to the draft. But general
managers should…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment