Winga wa Yanga, Simon Msuva (kulia) akimtoka beki wa Zanaco ya Zambia katika mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1
Wachezaji wa Yanga, Simon Msuva na Donald Ngoma (kushoto) wakishirikiana kujaribu kuwapita wachezaji wa Zanaco (kulia)
Winga wa Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) akipambana na beki waa Zanaco
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko (kushoto) akimtoka beki wa Zanaco
Kiungo wa Yanga, Justin Zulu akitoa pasi mbele ya mchezaji wa Zanaco
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimtoka mchezaji wa Zanaco
Beki wa Zanaco akiondosha mpira kwenye njia ya mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma
Kocha wa Yanga, George Lwandamina (kushoto) akisalimiana na kocha wa Zanaco, Mzambia mwenzake, Numba Munamba kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga kilichoanza katika mchezo wa jana
Kikosi cha Zanaco kilichoanza katika mchezo wa jana
Everything you need to know about the 2024 London Marathon
-
Tributes will be paid to Kelvin Kiptum, a world record could be set and
famous faces take to the start line - here's everything you need to know
about this...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment