• HABARI MPYA

    Wednesday, March 08, 2017

    YANGA NA RUVU SHOOTING KATIKA PICHA JANA UHURU

    Winga wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Kiluvya United katika mchezo wa mwisho wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 6-1 na kwenda Robo Fainali
    Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akitafuta maarifa ya kumpokonya mpira beki wa Kiluvya
    Kocha Mzambia wa Yanga, George Lwandamina akizungumza na Chirwa ambaye jana alifunga mabao manne peke yake
    Kikosi cha kilichoanza jana 
    Kikosi cha Kiluvya United Uwanja wa Uhuru jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA NA RUVU SHOOTING KATIKA PICHA JANA UHURU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top