Winga wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Kiluvya United katika mchezo wa mwisho wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 6-1 na kwenda Robo Fainali
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akitafuta maarifa ya kumpokonya mpira beki wa Kiluvya
Kocha Mzambia wa Yanga, George Lwandamina akizungumza na Chirwa ambaye jana alifunga mabao manne peke yake
Kikosi cha kilichoanza jana
Kikosi cha Kiluvya United Uwanja wa Uhuru jana
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment