Winga wa Yanga, Simon Msuva akiwatoka wachezaji wa Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Jamhuri, Morogoro timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akipiga shuti baada ya kumzidi beki wa Mtibwa, Salim Mbonde
Beki wa Yanga, Oscar Joshua akirusha mpira jana
Simon Msuva (kulia) akijadiliana na mchezaji mwenzake, Juma Mahadhi
Kikosi cha Mtibwa Sugar kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana
No clear timescale on Murray's return from injury
-
Andy Murray will not compete at April's Monte Carlo Masters and BMW Open
after he ruptured ankle ligaments at the Miami Open.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment