• HABARI MPYA

    Friday, March 10, 2017

    SAMATTA ALIVYOWATENDA GENT JANA EUROPA LEAGUE

    Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta akimuacha chini beki wa Gent, Stefan Mitrovic katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Ghelamco- Arena mjini Gent. Genk ilishinda 5-2 Samatta akifunga mabao mawili 
    Samatta akipiga shuti pembeni ya Rami Gershon wa Gent jana
    Mbwana Samatta akipambana katikati ya wachezaji wa Gent
    Mbwana Samatta jana alikuwa kero kubwa kwa safu ya ulinzi ya Gent
    Mbwana Samatta akinyoosha msuli jana
    Mbwana Samatta wa pili kulia waliosimama katika kikosi cha Genk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOWATENDA GENT JANA EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top