Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta akimuacha chini beki wa Gent, Stefan Mitrovic katika ushindi wa 5-2 kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Ghelamco- Arena mjini Gent. Genk ilishinda 5-2 Samatta akifunga mabao mawili
Samatta akipiga shuti pembeni ya Rami Gershon wa Gent jana
Mbwana Samatta akipambana katikati ya wachezaji wa Gent
Mbwana Samatta jana alikuwa kero kubwa kwa safu ya ulinzi ya Gent
Mbwana Samatta akinyoosha msuli jana
Mbwana Samatta wa pili kulia waliosimama katika kikosi cha Genk
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment