Cristiano Ronaldo baada ya kumpiga chenga kipa wa Napoli, Pepe Reina dakika ya 29, lakini akiwa amebaki anatazamana na nyavu, akagongesha mwamba na kukosa bao la wazi. Hata hivyo, Real ilishinda 3-1 katika mchezo huo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli na kwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 3-1 pia nyumbani Madrid kwenye mchezo wa kwanza. Mabao ya Real jana yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 51, Dries Mertens aliyejifunga dakika ya 57 na Alvaro Morata dakika ya 90 na ushei. Mertens ndiye aliyefunga poia bao la Napoli dakikaa ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Greg Rutherford hints at a return to the rink 'next year' as the Olympic
legend admits he is 'very keen' to get his skates back on after shocking
Dancing On Ice injury
-
EXCLUSIVE BY DOMINIC HOGAN: The legendary Olympian was one of the
favourites to go all the way, but suffered a shocking injury to his abdomen
in the lead u...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment