Henrikh Mkhitaryan akiifungia bao la ugenini Manchester United dakika ya 35 baada ya pasi ya Zlatan Ibrahimovic katika sare ya 1-1 na wenyeji, Rostov kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Olimp 2 mjini Rostov. Bao la wenyeji lilifungwa na Aleksandr Bukharov dakika ya 53 na sasa Mashetani Wekundu watahitaji ushindi wa nyumbani kwenda Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TIM HOWARD: I played 152 games with Mikel Arteta... the manager leading
Arsenal vs. Manchester City is not my friend. He has changed. He is no
longer the teacher's pet with special privileges - and that's a good thing
-
In his latest column for DailyMail.com, TIM HOWARD lifts the lid on the
real Mikel Arteta... and why Louis Rees-Zammit can thrive in the NFL, where
players...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment