Sadio Mane wa Liverpool akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nicolas Otamendi kwenye boksi leo lakini refa hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Liverpool walitangulia kwa bao la penalti la James Milner dakika ya 51, kufuatia Roberto Firmino kuangushwa na Gael Clichy kwenye boksi, lakini Sergio Aguero akaisawazishia Man City akimalizia pasi ya Kevin de Bruyne dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: 2024 Christmas Games' TV Rights to Be Auctioned; Bidding to
Start at $50M
-
The NFL plans to auction the media rights to two Christmas Day games, with
bids expected to start at about $50 million, according to Michael McCarthy
of Fr...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment