• HABARI MPYA

    Wednesday, March 15, 2017

    LEICESTER CITY HAOOO ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    Nahodha wa Leicester City, Wes Morgan (kushoto) akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sevilla kwenye mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power mjini Leicester, Leicestershire, England. Bao la kwanza llilifungwa na Marc Albrighton dakika ya 54 katika mchezo ambao Sevilla ilimaliza pungufu baada ya Samir Nasri kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kumchezea rafu Jamie Vardy na Leicester inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2, baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER CITY HAOOO ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top