Leonardo Bonnuci akimpongeza Paulo Dybala (kulia) baada ya mshambuliaji huyo kufunga bao pekee dakika ya 42 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya FC POrto usiku wa jana Uwanja wa Juventus katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya na Juventus sasa inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya awali kushinda 2-0 Ureno PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wimbledon champion Marketa Vondrousova, 24, reveals she's getting divorced
from husband of two years - and he's taking the cat he missed her run to
the SW19 final to look after!
-
Reigning Wimbledon champion Marketa Vondrousova has revealed she broke up
with her husband of two years, just months after he celebrated her triumph
on Cen...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment