• HABARI MPYA

    Tuesday, March 14, 2017

    FATMA KHATIB 'FOE' ANAPOFURAHIA MAISHA YA BENCHI JKT QUEENS

    Beki wa kati wa JKT Queens, Fatuma Khatib 'Foe' akiwa benchi wakati wa mchezo dhidi ya Kigoma Sisters Ijumaa iliyopita Uwanja wa Karume, Dar es Salaam
    Fatuma Khatib (kulia) alikuwa mchezaji chaguo la kwanza kabla ya kujifungua mtoto wake wa kiume, Ibrahim 
    Hapa Fatma Foe anatoka kuchukua Medali yake baada ya JKT Queens kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FATMA KHATIB 'FOE' ANAPOFURAHIA MAISHA YA BENCHI JKT QUEENS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top