Refa Kheri Sasii (kulia) akimkabidhi mpira mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kushoto) baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Kiluvya United ya Pwani jioni ya leo kwenye mchezo waa mwisho wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC)
Hamilton will 'have some fun' from 18th on grid
-
Mercedes driver Lewis Hamilton says he intends to "have some fun" in
Sunday's Chinese Grand Prix after qualifying down in 18th place.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment