Wachezaji wa Azam FC wakiwa katika picha ya pamoja Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam kabla ya safari ya kwenda Mbabane, Swaziland kumenyana na wenyeji, Mbabane Swallows Jumapili katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 32 Bora Kombe la Shirikisho la soka Afrika. Azam inahitaji hata sare baada ya kushinda 1-0 katika mchezo wa kwanza nyumbani, Dar es Salaam Jumapili iliyopita
Premier League to face employment tribunal next month after being accused
of racial discrimination by a former employee... with chief executive
Richard Masters set to be called as a witness
-
EXCLUSIVE BY SAMI MOKBEL: The Premier League will stand accused of racial
discrimination by a former member of their equalities department in court
next mo...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment